4. Tena mtu mume mmoja wa kila kabila atakuwa pamoja nanyi; kila mmoja aliye kichwa cha nyumba ya baba zake.
5. Na majina ya hao waume watakaosimama pamoja nanyi ni haya; Wa Reubeni; Elisuri mwana wa Shedeuri.
6. Wa Simeoni; Shelumieli mwana wa Suri-shadai.
7. Wa Yuda; Nashoni mwana wa Aminadabu.