Hes. 1:4-7 Swahili Union Version (SUV)

4. Tena mtu mume mmoja wa kila kabila atakuwa pamoja nanyi; kila mmoja aliye kichwa cha nyumba ya baba zake.

5. Na majina ya hao waume watakaosimama pamoja nanyi ni haya; Wa Reubeni; Elisuri mwana wa Shedeuri.

6. Wa Simeoni; Shelumieli mwana wa Suri-shadai.

7. Wa Yuda; Nashoni mwana wa Aminadabu.

Hes. 1