Hes. 1:11-17 Swahili Union Version (SUV)

11. Wa Benyamini Abidani mwana wa Gideoni.

12. Wa Dani; Ahiezeri mwana wa Amishadai.

13. Wa Asheri; Pagieli mwana wa Okirani.

14. Wa Gadi; Eliasafu mwana wa Deueli.

15. Wa Naftali; Ahira mwana wa Enani.

16. Hao ndio walioitwa wa mkutano, wakuu wa kabila za baba zao; nao ndio vichwa vya wale maelfu ya Israeli.

17. Basi Musa na Haruni wakawatwaa hao watu waume waliotajwa majina yao;

Hes. 1