11. Wa Benyamini Abidani mwana wa Gideoni.
12. Wa Dani; Ahiezeri mwana wa Amishadai.
13. Wa Asheri; Pagieli mwana wa Okirani.
14. Wa Gadi; Eliasafu mwana wa Deueli.
15. Wa Naftali; Ahira mwana wa Enani.
16. Hao ndio walioitwa wa mkutano, wakuu wa kabila za baba zao; nao ndio vichwa vya wale maelfu ya Israeli.
17. Basi Musa na Haruni wakawatwaa hao watu waume waliotajwa majina yao;