Hab. 2:16 Swahili Union Version (SUV)

Umejaa aibu badala ya utukufu; unywe nawe, uwe kama mtu asiyetahiriwa; kikombe cha mkono wa kuume wa BWANA kitageuzwa ukipokee, na aibu kuu itakuwa juu ya utukufu wako.

Hab. 2

Hab. 2:7-20