Gal. 3:19 Swahili Union Version (SUV)

Torati ni nini basi? Iliingizwa kwa sababu ya makosa, hata aje huyo mzao aliyepewa ile ahadi; iliamriwa kwa utumishi wa malaika kwa mkono wa mjumbe.

Gal. 3

Gal. 3:14-23