Flp. 3:1-2 Swahili Union Version (SUV)

1. Hatimaye, ndugu zangu, furahini katika Bwana.Kuwaandikieni mambo yale yale hakuniudhi mimi, bali kutawafaa ninyi.

2. Jihadharini na mbwa, jihadharini na watendao mabaya, jihadharini na wajikatao.

Flp. 3