Ezr. 8:28 Swahili Union Version (SUV)

Kisha nikawaambia, Ninyi mmekuwa watakatifu kwa BWANA, na hivyo vyombo ni vitakatifu; na fedha na dhahabu ni matoleo ya hiari kwa BWANA, Mungu wa baba zenu.

Ezr. 8

Ezr. 8:20-32