Ezr. 7:23 Swahili Union Version (SUV)

Kila neno litakaloamriwa na Mungu wa mbinguni, na litendeke halisi kwa ajili ya nyumba ya Mungu wa mbinguni. Kwa nini itokee ghadhabu juu ya ufalme wa mfalme na wanawe?

Ezr. 7

Ezr. 7:22-28