Ezr. 2:39-48 Swahili Union Version (SUV)

39. Wana wa Harimu, elfu moja na kumi na saba.

40. Walawi; wana wa Yeshua, na wana wa Kadmieli wa wana wa Hodavia, sabini na wanne.

41. Waimbaji; wana wa Asafu, mia moja ishirini na wanane.

42. Akina bawabu; wana wa Shalumu, wana wa Ateri, wana wa Talmoni, wana wa Akubu, wana wa Hatita, wana wa Shobai; jumla yao ni mia moja thelathini na kenda.

43. Wanethini; wana wa Siha, wana wa Hasufa, wana wa Tabaothi;

44. wana wa Kerosi, wana wa Siaha, wana wa Padoni;

45. wana wa Lebana, wana wa Hagaba, wana wa Akubu;

46. wana wa Hagabu, wana wa Salmai, wana wa Hanani;

47. wana wa Gideli, wana wa Gahari, wana wa Reaya;

48. wana wa Resini, wana wa Nekoda, wana wa Gazamu;

Ezr. 2