33. Watu wa Lodi, na Hadidi, na Ono, mia saba ishirini na watano.
34. Watu wa Yeriko, mia tatu arobaini na watano.
35. Watu wa Senaa, elfu tatu mia sita na thelathini.
36. Makuhani; wana wa Yedaya, wa mbari ya Yeshua, mia kenda sabini na watatu.
37. Wana wa Imeri, elfu moja hamsini na wawili.
38. Wana wa Pashuri, elfu moja mia mbili arobaini na saba.
39. Wana wa Harimu, elfu moja na kumi na saba.
40. Walawi; wana wa Yeshua, na wana wa Kadmieli wa wana wa Hodavia, sabini na wanne.
41. Waimbaji; wana wa Asafu, mia moja ishirini na wanane.
42. Akina bawabu; wana wa Shalumu, wana wa Ateri, wana wa Talmoni, wana wa Akubu, wana wa Hatita, wana wa Shobai; jumla yao ni mia moja thelathini na kenda.
43. Wanethini; wana wa Siha, wana wa Hasufa, wana wa Tabaothi;
44. wana wa Kerosi, wana wa Siaha, wana wa Padoni;
45. wana wa Lebana, wana wa Hagaba, wana wa Akubu;
46. wana wa Hagabu, wana wa Salmai, wana wa Hanani;
47. wana wa Gideli, wana wa Gahari, wana wa Reaya;
48. wana wa Resini, wana wa Nekoda, wana wa Gazamu;
49. wana wa Uza, wana wa Pasea, wana wa Besai;
50. wana wa Asna, wana wa Meunimu, wana wa Nefusimu;
51. wana wa Bakbuki, wana wa Hakufa, wana wa Harhuri;