17. Wana wa Besai, mia tatu ishirini na watatu.
18. Wana wa Harifu, mia moja na kumi na wawili.
19. Wana wa Hashumu, mia mbili ishirini na watatu.
20. Watu wa Gibeoni, tisini na watano.
21. Watu wa Bethlehemu, mia ishirini na watatu.
22. Watu wa Netofa, hamsini na sita.