Ezr. 10:31-42 Swahili Union Version (SUV)

31. Na wa wana wa Harimu; Eliezeri, na Ishiya, na Malkiya, na Shemaya, na Shimeoni,

32. na Benyamini, na Maluki, na Shemaria.

33. Na wa wana wa Hashumu; Matenai, na Matata, na Zabadi, na Elifeleti, na Yeremai, na Manase, na Shimei.

34. Na wa wana wa Bani; Maadai, na Amramu, na Ueli,

35. na Benaya, na Bedeya, na Keluhi,

36. na Wania, na Meremothi, na Eliashibu,

37. na Matania, na Matenai, na Yaasu.

38. Na wa wana wa Binui; Shimei,

39. na Shelemia, na Nathani, na Adaya,

40. na Maknadebai, na Shashai, na Sharai,

41. na Azareli, na Shelemia, na Shemaria,

42. na Shalumu, na Amaria, na Yusufu.

Ezr. 10