24. Na wa waimbaji; Eliashibu. Na wa mabawabu; Shalumu, na Telemu, na Uri.
25. Na wa Israeli; wa wana wa Paroshi; Ramia, na Izia, na Malkiya, na Miyamini, na Eleazari, na Malkiya, na Benaya.
26. Na wa wana wa Elamu; Matania, na Zekaria, na Yehieli, na Abdi, na Yeremothi, na Eliya.
27. Na wa wana wa Zatu; Elioenai, na Eliashibu, na Matania, na Yeremothi, na Zabadi, na Aziza.
28. Na wa wana wa Bebai; Yehohanani, na Hanania, na Zakai, na Athlai.
29. Na wa wana wa Bani; Meshulamu, na Maluki, na Adaya, na Yashubu, na Sheali, na Yeremothi.
30. Na wa wana wa Pahath-Moabu; Adna, na Kelali, na Benaya, na Maaseya, na Matania, na Besaleli, na Binui, na Manase.
31. Na wa wana wa Harimu; Eliezeri, na Ishiya, na Malkiya, na Shemaya, na Shimeoni,
32. na Benyamini, na Maluki, na Shemaria.
33. Na wa wana wa Hashumu; Matenai, na Matata, na Zabadi, na Elifeleti, na Yeremai, na Manase, na Shimei.
34. Na wa wana wa Bani; Maadai, na Amramu, na Ueli,
35. na Benaya, na Bedeya, na Keluhi,
36. na Wania, na Meremothi, na Eliashibu,
37. na Matania, na Matenai, na Yaasu.
38. Na wa wana wa Binui; Shimei,
39. na Shelemia, na Nathani, na Adaya,