Ezr. 10:20-29 Swahili Union Version (SUV)

20. Na wa wana wa Imeri; Hanani, na Zebadia.

21. Na wa wana wa Harimu; Maaseya, na Eliya, na Shemaya, na Yehieli, na Uzia.

22. Na wa wana wa Pashuri; Elioenai, na Maaseya, na Ishmaeli, na Nethaneli, na Yozabadi, na Elasa.

23. Na wa Walawi; Yozabadi, na Shimei, na Kelaya (ndiye Kelita), na Pethahia, na Yuda, na Eliezeri.

24. Na wa waimbaji; Eliashibu. Na wa mabawabu; Shalumu, na Telemu, na Uri.

25. Na wa Israeli; wa wana wa Paroshi; Ramia, na Izia, na Malkiya, na Miyamini, na Eleazari, na Malkiya, na Benaya.

26. Na wa wana wa Elamu; Matania, na Zekaria, na Yehieli, na Abdi, na Yeremothi, na Eliya.

27. Na wa wana wa Zatu; Elioenai, na Eliashibu, na Matania, na Yeremothi, na Zabadi, na Aziza.

28. Na wa wana wa Bebai; Yehohanani, na Hanania, na Zakai, na Athlai.

29. Na wa wana wa Bani; Meshulamu, na Maluki, na Adaya, na Yashubu, na Sheali, na Yeremothi.

Ezr. 10