Ezr. 10:15 Swahili Union Version (SUV)

Yonathani, mwana wa Asaheli, na Yazeya, mwana wa Tikwa, hawa peke yao ndio waliosimama kulipinga neno hilo; na Meshulamu, na Shabethai Mlawi, wakawasaidia.

Ezr. 10

Ezr. 10:8-21