Eze. 8:18 Swahili Union Version (SUV)

Kwa sababu hiyo mimi nami nitatenda kwa ghadhabu; jicho langu halitaachilia, wala sitaona huruma, na wajapolia masikioni mwangu kwa sauti kuu, sitawasikiliza.

Eze. 8

Eze. 8:13-18