Eze. 48:16 Swahili Union Version (SUV)

Na vipimo vyake ni hivi; upande wa kaskazini elfu nne na mia tano, na upande wa kusini elfu nne na mia tano, na upande wa mashariki elfu nne na mia tano, na upande wa magharibi elfu nne na mia tano.

Eze. 48

Eze. 48:7-20