Eze. 48:13 Swahili Union Version (SUV)

Na kuukabili mpaka wa makuhani, Walawi watakuwa na fungu, urefu wake ishirini na tano elfu, na upana wake elfu kumi; urefu wote utakuwa ishirini na tano elfu, na upana wake elfu kumi.

Eze. 48

Eze. 48:11-21