Eze. 47:8 Swahili Union Version (SUV)

Ndipo akaniambia, Maji haya yanatoka kwenda pande za nchi ya mashariki, nayo yanashuka mpaka Araba, na kuingia katika bahari; maji yatokezwayo yataingia baharini, na maji yake yataponyeka.

Eze. 47

Eze. 47:2-15