Eze. 42:6 Swahili Union Version (SUV)

Maana vilikuwa vina orofa tatu, wala havikuwa na nguzo kama nguzo za zile nyua; basi kila kilichokuwa cha juu kilikuwa chembamba kuliko cha chini na cha katikati, kutoka chini.

Eze. 42

Eze. 42:5-12