Eze. 42:12 Swahili Union Version (SUV)

Na sawasawa na milango ya vyumba, vilivyoelekea upande wa kusini, palikuwa na mlango katika mwisho wa njia ile; yaani, njia iliyoukabili ukuta upande wa mashariki, mtu akiingia.

Eze. 42

Eze. 42:6-20