Eze. 42:1 Swahili Union Version (SUV)

Ndipo akanileta mpaka ua wa nje, njia ya kuelekea upande wa kaskazini; akaniingiza katika chumba kilichopakabili mahali palipotengeka, na kilicholikabili jengo upande wa kaskazini;

Eze. 42

Eze. 42:1-11