Eze. 41:15 Swahili Union Version (SUV)

Akaupima urefu wa jengo lile lililokabili mahali palipotengeka, palipokuwa nyuma yake, na baraza zake upande huu na upande huu, dhiraa mia; na hekalu la ndani, na kumbi za ua;

Eze. 41

Eze. 41:10-20