Eze. 40:6 Swahili Union Version (SUV)

Kisha akaenda mpaka lango lielekealo upande wa mashariki, akapanda madaraja yake; akakipima kizingiti cha lango; upana wake mwanzi mmoja; na kizingiti cha pili, upana wake mwanzi mmoja.

Eze. 40

Eze. 40:1-16