Eze. 40:46 Swahili Union Version (SUV)

Nacho chumba kinachokabili upande wa kaskazini ni kwa makuhani, walinzi wa malindo ya madhabahu; hao ni wana wa Sadoki, ambao miongoni mwa wana wa Lawi wamkaribia BWANA, ili kumtumikia.

Eze. 40

Eze. 40:44-49