Eze. 40:36 Swahili Union Version (SUV)

vyumba vyake vya walinzi, na miimo yake, na matao yake; tena palikuwa na madirisha ndani yake pande zote; urefu wake dhiraa hamsini, na upana wake dhiraa ishirini na tano.

Eze. 40

Eze. 40:33-37