Eze. 40:26 Swahili Union Version (SUV)

Tena palikuwa na madaraja saba ya kulipandia, na matao yake yalikuwa mbele yake; nalo lilikuwa na mitende, mmoja upande huu, na mmoja upande huu, juu ya miimo yake.

Eze. 40

Eze. 40:20-33