Eze. 39:28 Swahili Union Version (SUV)

Nao watajua ya kuwa mimi ndimi BWANA, Mungu wao, kwa kuwa naliwahamisha, waende utumwani kati ya mataifa, na mimi nikawakusanya, na kuwaingiza katika nchi yao wenyewe; wala sitawaacha tena huko kamwe, hata mmojawapo;

Eze. 39

Eze. 39:26-29