Eze. 37:24 Swahili Union Version (SUV)

Na mtumishi wangu, Daudi, atakuwa mfalme juu yao, nao wote watakuwa na mchungaji mmoja; nao wataenenda katika hukumu zangu, na kuzishika amri zangu, na kuzitenda.

Eze. 37

Eze. 37:17-28