Eze. 36:20 Swahili Union Version (SUV)

Nao walipoyafikilia mataifa yale waliyoyaendea, walilitia unajisi jina langu takatifu; kwa kuwa watu waliwanena, wakisema, Watu hawa ni watu wa BWANA, nao wametoka katika nchi yake.

Eze. 36

Eze. 36:15-22