14. basi hutakula watu tena, wala hutafisha watu wa taifa lako tena, asema Bwana MUNGU;
15. wala sitakusikizisha tena aibu yao wasioamini, wala hutachukua matukano ya watu tena; wala hutalikwaza taifa lako tena, asema Bwana MUNGU.
16. Tena, neno la BWANA likanijia, kusema,