Eze. 36:14-16 Swahili Union Version (SUV)

14. basi hutakula watu tena, wala hutafisha watu wa taifa lako tena, asema Bwana MUNGU;

15. wala sitakusikizisha tena aibu yao wasioamini, wala hutachukua matukano ya watu tena; wala hutalikwaza taifa lako tena, asema Bwana MUNGU.

16. Tena, neno la BWANA likanijia, kusema,

Eze. 36