Eze. 33:15 Swahili Union Version (SUV)

kama mtu mwovu akirudisha rehani, na kumrudishia mtu mali yake aliyomnyang’anya, akizifuata sheria za uzima, asitende uovu wo wote; hakika ataishi, hatakufa.

Eze. 33

Eze. 33:5-17