Eze. 32:29 Swahili Union Version (SUV)

Edomu yuko huko, wafalme wake, na wakuu wake wote, ambao katika uwezo wao wamelazwa pamoja nao waliouawa kwa upanga; watalala pamoja na hao wasiotahiriwa, na pamoja na hao washukao shimoni.

Eze. 32

Eze. 32:25-31