Eze. 32:26 Swahili Union Version (SUV)

Mesheki yuko huko, na Tubali, na watu wake wote jamii; makaburi yake yamzunguka; wote pia hawakutahiriwa, wameuawa kwa upanga; maana walifanya utisho wao katika nchi ya walio hai.

Eze. 32

Eze. 32:20-32