Eze. 32:12 Swahili Union Version (SUV)

Kwa panga za mashujaa nitawaangusha watu wako wote jamii; hao wote ni watu wa mataifa watishao, nao watakiharibu kiburi cha Misri, na jamii ya watu wake wengi wataangamia.

Eze. 32

Eze. 32:10-19