Eze. 31:5 Swahili Union Version (SUV)

Basi kimo chake kilitukuzwa kuliko miti yote ya kondeni, na vitanzu vyake viliongezeka; matawi yake yakawa marefu, kwa sababu ya maji mengi, alipoyachipuza.

Eze. 31

Eze. 31:1-14