Eze. 31:3 Swahili Union Version (SUV)

Tazama, Mwashuri alikuwa mwerezi katika Lebanoni, wenye matawi mazuri, na kifuniko chenye uvuli, na kimo kirefu; na kilele chake kilikuwa kati ya matawi mapana.

Eze. 31

Eze. 31:1-8