Eze. 28:23 Swahili Union Version (SUV)

Maana nitampelekea tauni, na damu, katika njia kuu zake, na hao waliotiwa jeraha wataanguka kati yake, kwa upanga juu yake pande zote; nao watajua ya kuwa mimi ndimi BWANA.

Eze. 28

Eze. 28:15-26