Eze. 24:13 Swahili Union Version (SUV)

Katika uchafu wako mna uasherati, kwa maana nimekusafisha, ila wewe hukusafika; hutasafishwa tena uchafu wako ukutoke, hata nitakapokuwa nimeituliza hasira yangu kwako.

Eze. 24

Eze. 24:7-14