Eze. 23:8 Swahili Union Version (SUV)

Wala hakuyaacha mambo yake ya kikahaba tangu siku za Misri, kwa maana wakati wa ujana wake walilala naye, wakayabana matiti ya ubikira wake wakamwaga uzinzi wao juu yake.

Eze. 23

Eze. 23:5-13