Eze. 23:45 Swahili Union Version (SUV)

Basi watu wenye haki watawahukumu, kwa hukumu iwapasayo wazinzi, na kwa hukumu iwapasayo wanawake wamwagao damu; kwa sababu wao ndio wazinzi, na mikononi mwao mna damu.

Eze. 23

Eze. 23:38-49