Eze. 23:4 Swahili Union Version (SUV)

Na majina yao, mkubwa aliitwa Ohola, na umbu lake Oholiba; wakawa wangu, wakazaa wana na binti. Na katika hayo majina yao, Samaria ni Ohola, na Yerusalemu ni Oholiba.

Eze. 23

Eze. 23:1-10