Eze. 23:10 Swahili Union Version (SUV)

Na hawa wakaufunua uchi wake, wakatwaa wanawe na binti zake, wakamwua yeye kwa upanga; akawa jina la aibu kati ya wanawake; kwa maana walitoa hukumu juu yake.

Eze. 23

Eze. 23:7-13