Eze. 22:28 Swahili Union Version (SUV)

Na manabii wake wamewapakia chokaa isiyokorogwa vema, wakiona ubatili, na kuwatabiria maneno ya uongo, wakisema, Bwana MUNGU asema hivi; iwapo BWANA hakusema neno.

Eze. 22

Eze. 22:24-29