Eze. 20:41 Swahili Union Version (SUV)

Nitawatakabali kama harufu ipendezayo, nitakapowatoa katika mataifa, na kuwakusanya toka nchi zile mlizotawanyika; nami nitatakaswa kwenu machoni pa mataifa.

Eze. 20

Eze. 20:40-48