Eze. 20:24 Swahili Union Version (SUV)

kwa sababu hawakuzitekeleza hukumu zangu, bali walizikataa amri zangu, nao walizitia unajisi sabato zangu, na macho yao yaliandama vinyago vya baba zao.

Eze. 20

Eze. 20:18-27