Eze. 20:15 Swahili Union Version (SUV)

Tena naliwainulia mkono wangu jangwani, ya kwamba sitawaingiza katika nchi ile niliyokuwa nimewapa, ijaayo maziwa na asali, ambayo ni utukufu wa nchi zote;

Eze. 20

Eze. 20:6-23