Eze. 18:19 Swahili Union Version (SUV)

Lakini ninyi mwasema, Kwani yule mwana asiuchukue uovu wa baba yake? Yule mwana atakapofanya yaliyo halali na haki, na kuzishika amri zangu na kuzitenda, hakika ataishi.

Eze. 18

Eze. 18:12-26