Eze. 18:13 Swahili Union Version (SUV)

naye amekopesha watu ili apate faida, na kupokea ziada; je! Ataishi baada ya hayo? La, hataishi; amefanya machukizo hayo yote; hakika atakufa; damu yake itakuwa juu yake.

Eze. 18

Eze. 18:7-16