Eze. 17:20 Swahili Union Version (SUV)

Nami nitatandika wavu wangu juu yake, naye atanaswa katika mtego wangu, nami nitamleta hata Babeli; nami nitateta naye huko kwa sababu ya kosa lake alilonikosa.

Eze. 17

Eze. 17:12-24