Eze. 16:47 Swahili Union Version (SUV)

Lakini hukuenda katika njia zao, wala hukutenda sawasawa na machukizo yao; lakini kana kwamba hilo ni jambo dogo sana, ulikuwa umeharibika kuliko wao katika njia zako zote.

Eze. 16

Eze. 16:46-49